forked from WA-Catalog/sw_tn
321 B
321 B
Taarifa kwa ujumla
Yahweh anaendelea kumwambia Musa kiwapasacho watu kutenda
nyonga shingo na kukinyoa kichwa chake,
popotoa/songonyoa kichwa chake na kuking'oa kutoka mwilini
Kisha damu yake itachuruzishwa
Sentensi hii yaweza kufasiriwa katika mtindo tendaji: "Kisha itampasa kuhani kuichuruzisha damu yake"