forked from WA-Catalog/sw_tn
442 B
442 B
Basi
Neno hili limetumika hapa kuonesha pumziko katika masimulizi. Hapa msimlizi anatueleza kwanini malango ya Yeriko yalikuwa yamefungwa
nimeweka Yeriko katika mkono wako, mfalme wake pamoja na wanajeshi wake waliofunzwa.
Sehemu hii maneno "katika mkono wako" yana maana kwamba Yahweh alimpa Yoshua uwezo wa kuwaangamiza. Pia twaweza kusema, "Ninakupatia nguvu za kuishinda Yeriko, mfalme wake, na wanajeshi wakeo waliofundishwa."