forked from WA-Catalog/sw_tn
747 B
747 B
kwake yeye mawe ya kombeo huwa kama makapi.
Hii ina kwamba mawe ya kombeo hayan matumizi tena kuliko makapi katika upepo dhidi ya mamba.
kwake yeye mawe ya kombeo huwa kama makapi.
Hii ina maana kwamba rungu haitakuwa na faida tena kuliko makapi katika kumpiga mamba.
yeye hucheka juu ya mkuki unaovuma
Mamba anafananishwa na mtu anayechekelea kushindana naye kusiko na maana kwa kumrushia mikuki.
Sehemu zake za chini zi kama vipande vilivyochongoka vya vyungu
Hii inazungumzia juu ya magamba yaliyo na ukali.
huacha alama zilizosambaa katika udongo kana kwamba alikuwa ni chombo cha kusagia.
Sentensi hii inalinganisha mkia wake na chombo cha kusagia ambacho husugua ardhi na kuacha alama kana kwamba kilikuwa kinaenda.