forked from WA-Catalog/sw_tn
21 lines
412 B
Markdown
21 lines
412 B
Markdown
# Maelezo ya jumla
|
|
|
|
Ayubu anaendelea kufafanua hali ambazo alistahili kupata hukumu ya Mungu, lakini anajua kuwa hayakuwa ni ya kweli.
|
|
|
|
# mwezi ukitembea
|
|
|
|
"mwezi ukizunguka katika anga"
|
|
|
|
# na kama moyo wangu umevutwa kwa siri
|
|
|
|
"kama kwa siri nimetamani kuviabudu"
|
|
|
|
# mdomo wangu umeubusu mkono wangu
|
|
|
|
Hii ni ishara ya upendo na ibada.
|
|
|
|
# kuadhibiwa na waamuzi,
|
|
|
|
"kwa ajili yake waamuzi wangekuwa sawa kuhukumu"
|
|
|