forked from WA-Catalog/sw_tn
21 lines
548 B
Markdown
21 lines
548 B
Markdown
# Maelezo ya jumla
|
|
|
|
Ayubu anaendelea kufafanua hali ambazo alistahili kupata hukumu ya Mungu, lakini anajua kuwa hayakuwa ni ya kweli.
|
|
|
|
# Kama hatua zangu zimegeuka kutoka katika njia sahihi
|
|
|
|
"kama nimekoma kufanya kile kilicho sawa"
|
|
|
|
# kama moyo wangu umetembea kwa kufuata macho yangu
|
|
|
|
"kama nimefanya mambo yoyote maovu"
|
|
|
|
# na kama doa lolote la uchafu limeng'ang'ania katika mikono yangu
|
|
|
|
"kama nina hatia ya dhambi kabisa"
|
|
|
|
# mavuno na yang'olewe katika shamba langu
|
|
|
|
"mtu mwingine zaidi na aje na kuchukua mavuno kutoka katika shamba langu"
|
|
|