forked from WA-Catalog/sw_tn
486 B
486 B
Maelezo ya jumla
Ayubu anaendelea kuzungumza
kama nime...
Katika 31:5-40 Ayubu anafafanua hali mbalimbali ambazo angesitahili kupata hukumu ya Mungu. Lakini anajua kuwa si ya kweli na yeye hana hatia.
nimetembea katika udanganyifu, kama mguu wangu umeharakisha katika uongo
"kufanya kitu cha uongo au kumdanganya mtu kwa makusudi"
na nipimwe katika vipimo vilivyo sawa
Watu hutumia mizani ili kupima vitu na kutambua uthamani wake. "Mungu na anihukumu kwa uadilifu"