juu ya mkono wangu wa kuume huinuka umati
"kundi la vijana hushambulia nguvu zangu" au " makundi ya watu wanashabulia heshima yangu"
hujikusanya dhidi yangu kwa kunizunguka
...adui wamejiandaa kumshambulia Ayubu, kama jeshi linavyojiandaa kushambulia...