forked from WA-Catalog/sw_tn
25 lines
681 B
Markdown
25 lines
681 B
Markdown
# Sentensi unganishi
|
|
|
|
Ayubu anaendelea kuongea
|
|
|
|
# watashushwa
|
|
|
|
"Mungu atawashusha" au "Mungu atawaharibu"
|
|
|
|
# watakusanywa kama wengine wote
|
|
|
|
baadhi ya tafsiri zingine zinasema "watanyauka na kufifia kama magugu"
|
|
|
|
# watakatwa kama masuke ya nafaka
|
|
|
|
KTN:"Mungu atawakata kama mkulima anavyokata masuke ya nafaka"
|
|
|
|
# Kama ndivyo, je ni nani anaweza kuthibitisha kuwa mimi ni mwongo ; nani anaweza kufanya maneno yangu yasifae kitu?
|
|
|
|
Ayubu anatumia swali hili kuonyesha uzito wa hoja yake. KTN: "hii ni kweli, hakuna mtu anaweza kuthibitisha kuwa mimi ni mwongo; hakuna wa kuthibitisha kuwa mimi ni mkosaji"
|
|
|
|
# kufanya maneno yangu yasifae kitu?
|
|
|
|
"kuthibitisha ninachosema ni makosa"
|
|
|