forked from WA-Catalog/sw_tn
516 B
516 B
Wakati wa mchana
"Wakati mwananamke alipokuwa akienda mjini"
Wanafunzi walikuwa wakimuuliza
"wanafunzi walikuwa wakimwambia Yesu" au wanafunzi walikuwa wakimtia moyo"
Ninacho chakula ambacho hamkijui
Hapa Yesu haongelei "chakula" bali anawaandaa wanafunzi wake kwa ajili ya fundisho la kiroho.
Hakuna mtu ambaye amemlea kitu chochote
Wanafunzi wanafikiri kuwa anaongelea chakula cha kawaida.Wakaanza kuulizana wakitegemea mwitikio wa hapana. Hakika hakuna mtu aliye mletea chakula tulipokuwa mjini!"