forked from WA-Catalog/sw_tn
21 lines
431 B
Markdown
21 lines
431 B
Markdown
# Shefatia ... Malkiya
|
|
|
|
Majina ya kwenye orodha hii ni majina ya wanaume.
|
|
|
|
# watauawa kwa upanga, njaa na tauni
|
|
|
|
"watakufa kwa upanga, njaa na tauni"
|
|
|
|
# Atakimbia kunusuru maisha yake
|
|
|
|
Waliojisalimisha Babeli watakimbia kuyanusuru maisha yao htakama watapoteza mali zao.
|
|
|
|
# Mji huu utatiwa mikononi mwa jeshi la mfalme wa Babeli
|
|
|
|
"nitaliruhusu jeshi la mfalme wa Babeli kuiteka Yerusalemu"
|
|
|
|
# ataikamata
|
|
|
|
"jeshi lake litaikamata"
|
|
|