forked from WA-Catalog/sw_tn
332 B
332 B
Wa Bethlehemu
"toka Bethlehemu"
wa jamaa ya Yuda
Hii inamaana kuwa alikuwa akiishi kati ya familia ya Yuda, ambalo ni kabila la Yuda.
Alikaa huko ili kutimiza majukumu yake
"Alikaa na kufanya kazi huko"
kutafuta mahali pa kuishi
"kutafuta sehemu tofauti ya kuishi"
nipate kuishi
"ambapo nitaishi na kupata kazi"