forked from WA-Catalog/sw_tn
21 lines
707 B
Markdown
21 lines
707 B
Markdown
# Pia utakuwa taji la uzuri mikononi mwa Yahwe, na kilemba cha kifalme mkononi mwa Mungu wako
|
|
|
|
Hizi zina maana moja na zinaunganishwa kwa ajili ya msisitizo. Zinasema ya kwamba Yerusalemu utakuwa mji wa kifalme chini ya nguvu na mamlaka ("mkono") ya Mungu.
|
|
|
|
# haitakuwa kwako tena ... kusemwa, "Ukiwa"
|
|
|
|
Hizi zina maana moja na zinaunganishwa kwa ajili ya msisitizo.
|
|
|
|
# haitasemwa kwako tena
|
|
|
|
Hii inaweza kuelezwa katika hali ya kutenda. "Watu hawatasema tena juu yako"
|
|
|
|
# wala nchi yako haitasemwa tena
|
|
|
|
Hii inaweza kuelezwa katika hali ya kutenda. "wala watu hawatasema tena juu ya nchi yako"
|
|
|
|
# na nchi yako itaolewa
|
|
|
|
Hii ina maana Yahwe atawapenda watu wa Israeli na atakuwa nao daima kama alivyo mume.
|
|
|