forked from WA-Catalog/sw_tn
29 lines
1004 B
Markdown
29 lines
1004 B
Markdown
# Nisikilize mimi
|
|
|
|
Hapa "mimi" ina maana ya mtumishi wa Yahwe.
|
|
|
|
# nyie nchi za pwani
|
|
|
|
Hii ina maana ya watu ambao huishi katika nchi za pwani. "wewe ambaye mnaishi katika nchi za pwani"
|
|
|
|
# Amefanya mdomo wangu kama upanga mkali
|
|
|
|
Hapa neno "mdomo" unawakilisha maneno ambayo anazungumza. Maneno yake yanalinganishwa na upanga mkali kusisitiza ya kwamba yatakuwa yanafaa. "Amefanya maneno yangu kuwa na matokeo yanyofaa kuwa makali kama upanga"
|
|
|
|
# amenificha katika kivuli cha mkono wake
|
|
|
|
Yahwe kulinda mtumishi wake na kuweka kusudi lake kuwa siri inazungumziwa kana kwamba mkono wa Yahwe uliiweka kivuli juu yake.
|
|
|
|
# amenifanya kuwa mshale uliong'arishwa; katika podo lake amenificha
|
|
|
|
Mtumishi wa Yahwe kuweza kutekeleza makusudi ya Yahwe kikamilifu inazungumziwa kana kwmba mtumishi alikuwa mshale mkali, na mpya.
|
|
|
|
# katika podo lake amenificha
|
|
|
|
Yahwe kulinda mtumishi wake na kuweka kusudi lake kuwa siri inazungumziwa kana kwamba Yahwe alimficha katika podo.
|
|
|
|
# podo
|
|
|
|
mfuko unaotumika kubeba mishale
|
|
|