forked from WA-Catalog/sw_tn
25 lines
689 B
Markdown
25 lines
689 B
Markdown
# Taarifa ya jumla:
|
|
|
|
Bwana anaongea juu ya Israeli.
|
|
|
|
# Ninawezaje kukuacha, Efraimu? Ninawezaje kukupeleka, Israeli?
|
|
|
|
Bwana anawapenda watu wake sana kiasi kwamba hatawaharibu kabisa.
|
|
|
|
# Ninawezaje kukufanya kama Adma? Ninawezaje kukufanya kama Seboimu?
|
|
|
|
Bwana anawapenda watu wake sana kiasi kwamba hatawaharibu kabisa. "Sitaki kuwaangamiza kama nilivyoiangamiza Adma na Seboimu miji niliyoiangamiza pamoja na Sodoma"
|
|
|
|
# Kwa maana mimi ni Mungu na wala si mtu
|
|
|
|
Mungu si kama mwanadamu anayeamua haraka kulipa kisasi.
|
|
|
|
# Moyo wangu umebadilika ndani yangu
|
|
|
|
Hapa "moyo" unawakilisha mapenzi ya Mungu na maamuzi yake.
|
|
|
|
# sitakuja katika ghadhabu
|
|
|
|
"Sitakuja kwako na kuwa na hasira na wewe"
|
|
|