forked from WA-Catalog/sw_tn
357 B
357 B
Taarifa ya jumla:
Bwana anazungumza.
Wao ni kama upinde usiotumainika
Huu upinde hautumiki.
kwa sababu ya udhalimu wa vinywa vyao
Hapa "vinywa" ni maneno yaliyosemwa na maofisa. "Kwa sababu wamenitukana mimi" au "kwa sababu wamenilaani mimi"
Hii itakuwa ni aibu yao katika nchi ya Misri.
"Hii ndiyo sababu kwamba Misri itawacheka Waisraeli"