forked from WA-Catalog/sw_tn
497 B
497 B
Maelezo ya Jumla:
Yahwe anaendelea kumpatia Ezekieli ujumbe kwa Farao.
wamekuwa mwanzi wa kutegemewa
Yahwe anawalinganisha watu wa Misri na Farao na mwanzi kwa sababu watu wa Israeli waliwategemea Wamisri kuwasaidia katika vita, lakini Wamisri hawakuwa imara kuwasaidia.
mwanzi
mmea ukuao karibu na maji na unafanana na majani marefu
shina
sehemu ya mwanzi ambayo ni ndefu kama fimbo nyembamba. Watu wanaweza kuzitumia kama fimbo.
watakapo kushika
Neno "wewe" linamreja Farao.