forked from WA-Catalog/sw_tn
21 lines
611 B
Markdown
21 lines
611 B
Markdown
# Tazama!
|
|
|
|
Neno "tazama" hapa linaonyesha kwamba Ezekieli alishangazwa kwa kile alichokiona.
|
|
|
|
# Kulikuwa na kila umbo la vitu vikitembea
|
|
|
|
"vitu vilivyo chongwa katika ukuta wa kila aina ya wanyama watambaao na wanyama wa karaha." Neno kitu kitambaacho" linarejea wadudu na wanyama wengine wadogo.
|
|
|
|
# nyumba ya Israeli
|
|
|
|
Neno "nyumba" linasimama badala ya familia inaishi katika nyumba, katika kesi hii Waisraeli, uzao wa Yakobo zaidi ya miaka mingi.
|
|
|
|
# Yaazania mwana wa Shafani
|
|
|
|
hili ni jina la kiume
|
|
|
|
# chetezo
|
|
|
|
sufuria ambayo watu hutumia kwa kuchomea ubani ndani wakati wakimwabudu Mungu au miungu ya uongo
|
|
|