forked from WA-Catalog/sw_tn
485 B
485 B
Taarifa ya Jumla:
Musa anazungumza wimbo wa shairi kwa watu wa Israeli. Anazungumza kwa Waisraeli kana kwamba walikuwa mtu mmoja, kwa hiyo neno "yako" hapa ni katika umoja.
Alikula
Musa anaendelea kuzungumza na Waisraeli kama "Yakobo" (32:9). Unaweza kutafsiri hiki kana kwamba Musa alikuwa akizungumzia Waisraeli kama watu wengi. "Mababu zetu walikula"
mafuta ya wanakondoo, kondoo dume wa Bashani na mbuzi
Watu wa Israeli walikuwa na makundi mengi yenye afya ya wanyama.