forked from WA-Catalog/sw_tn
710 B
710 B
Belshaza
Hili lilikuwa ni jina la mtoto wa kiume wa Nebukadneza ambaye alikuwa mfalme baada yake
haujaunyenyekeza moyo wako
Mahali hapa neno 'moyo' linamwakilisha Nebukadneza mwenyewe.
umwenyewe kinyume cha Bwana
Kitendo cha kuasi kinyume na Mungu kinasemwa kana kwamba ni kujiinua mtu mwenyewe.
kutoka katika nyumba yake
Kirai "nyumba yake" kinaeza kuelezwa kwa uwazi sna "kutoka kwa hekalu la mfalme."
njia zako zote"
"kila kitu uanchokifanya"
Mungu ambaye anaishikilia pumzi yako katika mkono wake
Mahali hapa neno 'pumzi" lina maana ya fedja ma memp "mkono" lina maana ya mamlaka au utawala.
maandishi haya yaliandikwa
Muundo tendaji waweza kutumika. "iliandika ajumbe huu"