forked from WA-Catalog/sw_tn
350 B
350 B
Maelezo ya jumla
Ingawa Herode alikuwa amemwua Yakobo sura 12:1, hata hivyo kulikuwa na Yakobo zaidi ya mmoja.
Lakini Petro aliendelea kubisha
Neno "Kuendelea" linamaanisha Petro alifuluriza kubisha kwa mudo wote wale wa ndani wakiwa wanazungumza habari zake.
Wajulishe haya mambo
"Waambieni habari hizi"
Ndugu zake
"Waumini wengine"