forked from WA-Catalog/sw_tn
426 B
426 B
Wameiacha njia ya kweli, wamepotoka na wamefuata...
"walimu wa uongo .wameiacha...wamepotoka..wamefuata". Walimu wa uongo wamekataa kumtii Mungu kwa kukataa kilicho sahihi
aliyependa kupata malipo yasiyo haki
alipokokea malipo ya anasa na yenye matendo ya dhambi
Lakini alikemwa kwa ajili ya ukosaji wake
alionywa vikali kwa kutokutii kwake
alizuia wazimuwa nabii
Mungu alitumia punda kuzuia upumbavu wa nabii