forked from WA-Catalog/sw_tn
456 B
456 B
linda kile ulichopewa
kwa uaminifu hubiri ujumbe wa kweli ambao Yesu amekupa
epuka majadiliano ya kipumbavu
usitilie maanani majadiliano yasiyofaa
ambayo kwa uongo huitwa maarifa
ambayo kwa ujinga watu wengine huyaita maarifa
wameikosa imani
Paulo anazungumzia imani katika Kristo kama vile shabaha yetu
Neema na iwe pamoja nawe
Mungu awape neema ninyi nyote. Neno "ninyi" limetumiwa katika wingi na linarejelea jamii yote ya Wakristo.