sw_tn_fork/1ti/05/21.md

21 lines
1.2 KiB
Markdown
Raw Permalink Blame History

This file contains invisible Unicode characters

This file contains invisible Unicode characters that are indistinguishable to humans but may be processed differently by a computer. If you think that this is intentional, you can safely ignore this warning. Use the Escape button to reveal them.

# malaika wao wateule
Hii inamaanisha malaika ambao Mungu na Yesu wamewachagua kuwatumikia wao kwa njia maalumu.
# weka mikono
Hii ilikuwa sherehe ambapo viongozi wa kanisa moja au zaidi wangeweka mikono juu ya watu na kuomba kwamba Mungu aweze kuwawezesha watu hao kutumikia kanisa kwa njia ambayo Mungu angekuwa radhi. Timotheo alikuwa anasubiri hadi mtu aoneshe tabia nzuri kwa muda mrefu kabla ya kumweka rasmi mtu huyo kuitumikia jamii ya Kikristo.
# usishiriki katika dhambi ya mtu mwingine
"kujiunga katika dhambi ya mtu mwingine." Maana inawezekana ni 1) kama Timotheo akichagua mtu ambaye ana dhambi na kuwa mfanyakazi wa kanisa, Mungu angemshikilia Timotheo kuwajibika kwa dhambi ya mtu huyo, au 2) Timotheo hapaswi kutenda dhambi akiona wengine wakitenda.
# tunza amri hizi bila ya kuathiri na kwamba wewe usifanye kitu nje ya upendeleo
kwa maneno "upendeleo," Paulo anasisitiza kwamba Timotheo lazima ahukumu kwa uaminifu na kuwa wa haki kwa kila mtu. "kwamba ushike sheria hizi bila ya kuwa sehemu au kuonesha upendeleo kwa mtu yeyote"
# tunza amri hizi
Maana inawezekana ni 1) hii inamaanisha sheria ambazo Paulo amemwambia Timotheo au 2) hii inamaanisha sheria ambazo Paulo anataka kumwambia Timotheo.