forked from WA-Catalog/sw_tn
17 lines
380 B
Markdown
17 lines
380 B
Markdown
# Je, nikutake mara ngapi ili nikuapia ukweli ... kwa jina la BWANA?
|
|
|
|
"Nimekutaka mara nyingi sana ...katika jina la BWANA."
|
|
|
|
# katika jina la BWANA
|
|
|
|
"kama mwakilishi wa BWANA"
|
|
|
|
# Ninaiona Israeli
|
|
|
|
"Ninaliona jeshi lote la Israeli"
|
|
|
|
# kama kondoo wasiokuwa na mchungaji
|
|
|
|
Wanajeshi wamefananishwa na kondoo wasiokuwa na mtu wa kuwaongoza kwa zababu mchungaji wao, mfalme, ameuawa
|
|
|