Kwa hiyo,msitamke hukumu
Kwa kuwa Mungu atahukumu atakaporudi, tusihukumu.
atayaleta nuruni mambo yaliyofichika gizani na kufunua makusudi ya mioyo
Mungu ataweka wazi mawazo na dhamira za watu. Hakuna kitakachofichika mbele za Bwana.
ya mioyo
"ya mioyo ya watu"