forked from WA-Catalog/sw_tn
Add 'rev/05/Intro.md'
This commit is contained in:
parent
149e78f542
commit
884608196f
|
@ -0,0 +1,35 @@
|
|||
# Ufunuo 05 maelezo kwa jumla
|
||||
|
||||
### Muundo na mpangilio
|
||||
|
||||
Tafsiri zingine zinaingiza ndani kidogo msitari wa ushairi ili isomeke kwa urahisi. ULB hufanya hivi na ushairi ulioko katika 4:8, 11
|
||||
|
||||
### Dhana muhimu katika sura hii
|
||||
|
||||
#### Kitabo kilichofungwa na mihuri
|
||||
|
||||
Katika kitabu kilichofungwa na mihuri kimeandikwa ujumbe uliofichwa ambao unangojelewa kusomwa. Kitabu hiki kinaweza kusomwa tu na mtu aliye na mamlaka ya kukifungua.
|
||||
|
||||
#### Wazee ishirini na wanne
|
||||
|
||||
Labda maneno haya yanaashiria viongozi wa kanisa lakini utambulisho ya wazee ishirini na wanne sio na hakika. (Tazama:rc://en/ta/man/translate/writing-apocalypticwriting)
|
||||
|
||||
#### Sala za Kikristo
|
||||
|
||||
Sala za Wakristo zimeunganishwa na ubani. Sala za Wakristo zina harufu nzuri kwa Mungu. Mungu anafurahi wakati Wakristo wanapoomba.
|
||||
|
||||
#### Roho saba za Mungu
|
||||
|
||||
Maana halisi ya maneno haya haiko wazi. Kuna uwezekano kama ni mfano inayoashiria Roho Mtakatifu na nambari saba ikiashiria "ukamilifu." Kuna uwezekano kwamba pia si mfano, lakini inaashiria roho saba zinazozunguka kiti cha enzi cha Mungu.
|
||||
|
||||
### Mifano muhimu ya usemi katika sura hii
|
||||
|
||||
#### Mfano
|
||||
|
||||
"Simba wa kabila la Yuda" na "mzizi wa Daudi" inaashiria Yesu. Hizi ni mifano inayotumika kama vyeo vya Yesu. (Tazama:rc://en/ta/man/translate/figs-metaphor]] na[[rc://en/ta/man/translate/figs-explicit)
|
||||
|
||||
## Links:
|
||||
|
||||
* __[Revelation 05:01 Notes](./01.md)__
|
||||
|
||||
__[<<](../04/intro.md) | [>>](../06/intro.md)__
|
Loading…
Reference in New Issue