forked from WA-Catalog/sw_tn
25 lines
440 B
Markdown
25 lines
440 B
Markdown
|
# walionajisika kwa sababu ya maiti
|
||
|
|
||
|
"walinajisika kwa sababu ya kugusa maiti"
|
||
|
|
||
|
# kunajisika
|
||
|
|
||
|
Mtu ambaye Mungu anamwona hakubaliki kiroho ni yule ambaye katika hali ya mwili alikuwa amenajisika.
|
||
|
|
||
|
# kuishika Pasaka
|
||
|
|
||
|
Tazama 9:4
|
||
|
|
||
|
# kwa sababu ya maiti
|
||
|
|
||
|
"kwa sababu tumegusa maiti"
|
||
|
|
||
|
# kwa nini basi unatutaka tuendelee kutoa sadaka ... wana wa Israeli?
|
||
|
|
||
|
Si sahihi kutuzuia kutoa sadaka ... kati ya wana wa Israeli.
|
||
|
|
||
|
# uliopangwa
|
||
|
|
||
|
"ulioamriwa"
|
||
|
|