forked from WA-Catalog/sw_tn
29 lines
971 B
Markdown
29 lines
971 B
Markdown
|
# Bahari iliwatoa wafu ... Kifo na kuzimu viliwatoa wafu
|
||
|
|
||
|
Hapa Yohana anazungumzia bahari, kifo na kuzimu kana kwamba ni watu hai.
|
||
|
|
||
|
# wafu walihukumiwa
|
||
|
|
||
|
Hii inaweza kuelezwa kwa hali ya kutenda. "Mungu aliwahukumu wafu"
|
||
|
|
||
|
# Kifo na kuzimu zilitupwa
|
||
|
|
||
|
Hii inaweza kuelezwa kwa hali ya kutenda. "Mungu alizitupa kifo na kuzimu" au "Malaika wa Mungu walizitupa kifo na kuzimu"
|
||
|
|
||
|
# kuzimu
|
||
|
|
||
|
Hapa "kuzimu" ni njia nyingine ya kusema mahali ambapo wasioamini wanapokwenda pale wanapokufa ili kusubiri hukumu ya Mungu.
|
||
|
|
||
|
# mauti ya pili
|
||
|
|
||
|
"kufa mara ya pili." Hii inaelezwa kama adhabu ya milele katika ziwa la moto katika 20:13 na 21:7. "kifo cha mwisho ni ziwa la moto"
|
||
|
|
||
|
# Kama jina la yeyote halikupatikana limeandikwa
|
||
|
|
||
|
Hii inaweza kuelezwa kwa hali ya kutenda. "Kama malaika wa Mungu hawakupata jina la mtu"
|
||
|
|
||
|
# litupwa ndani ya ziwa la moto
|
||
|
|
||
|
Hii inaweza kuelezwa kwa hali ya kutenda. "malaika alimtupa katika ziwa la moto" au "malaika alimtupa mahali ambapo moto unawaka milele"
|
||
|
|