forked from WA-Catalog/sw_tn
13 lines
309 B
Markdown
13 lines
309 B
Markdown
|
# Ashuri
|
||
|
|
||
|
Hii inawakilishwa watu wa ashuri. "watu wa Ashuri"
|
||
|
|
||
|
# uzao wa Lutu
|
||
|
|
||
|
Hii inamaanisha watu wa mataifa ya Moabu na Amoni.
|
||
|
|
||
|
# Sela
|
||
|
|
||
|
Hili linaweza kuwa neno la kimuziki linalowaongoza watu jinsi ya kuimba au kujecheza vyombo hapa. Tafsiri zingine huandika neno hili la Kiebrania, na zingine haziliweki.
|
||
|
|