forked from WA-Catalog/sw_tn
37 lines
900 B
Markdown
37 lines
900 B
Markdown
|
# Taarifa ya Jumla:
|
||
|
|
||
|
Usambamba ni kawaida katika mashairi ya Kiebrania.
|
||
|
|
||
|
# Taarifa ya Jumla:
|
||
|
|
||
|
Zaburi hii ni wimbo kuhusu uaminifu wa Mungu.
|
||
|
|
||
|
# Kwa mwanamuziki mkuu
|
||
|
|
||
|
"Hii ni kwa kiongozi wa muziki kutumia katika kuabudu"
|
||
|
|
||
|
# Yeduthuni
|
||
|
|
||
|
Mmoja wa wanamuzi wakuu wa Daudi alikuwa na jina hili. Hii inaweza kumaanisha ni yeye.
|
||
|
|
||
|
# Zaburi ya Daudi
|
||
|
|
||
|
Maana zinazowezekana ni 1) Daudi aliiandika zaburi au 2) zaburi inamhusu Daudi au 3) zaburi iko katika mtindo wa zaburi za Daudi.
|
||
|
|
||
|
# wokovu wangu unatoka kwake
|
||
|
|
||
|
"yeye ndiye anayeniokoa"
|
||
|
|
||
|
# Yeye pekee ni mwamba wangu na wokovu wangu
|
||
|
|
||
|
Mwandishi anazungumzia uwezo wa mungu kumlinda kana kwamba Mungu ni mwamba. "Yeye pekee ndiye anayeweza kunilinda na kuniokoa"
|
||
|
|
||
|
# yeye ni mnara wangu wa juu
|
||
|
|
||
|
Mwandishi uwezo wa Mungu kumlinda kana kwamba Mungu ni mnara wa juu. "ananiepusha na kushikwa na adui"
|
||
|
|
||
|
# sitasogezwa sana
|
||
|
|
||
|
"hakuna kitu kinachoweza kunisogeza kamwe"
|
||
|
|