forked from WA-Catalog/sw_tn
25 lines
529 B
Markdown
25 lines
529 B
Markdown
|
# Yoyada...Pasea na Meshulamu...Besodeya...Melatia...Yadoni
|
||
|
|
||
|
Haya ni majina ya watu
|
||
|
|
||
|
# kuweka milango yake
|
||
|
|
||
|
"ameweka milango yake" au "kuweka milango yake mahali"
|
||
|
|
||
|
# vyuma vyake na makomeo yake
|
||
|
|
||
|
"kufuli na komeo zake." Hizi zimefungwa malango kwa usalama.
|
||
|
|
||
|
# Gibeoni...Meronothi
|
||
|
|
||
|
Wagibeoni na Meronothi ni makundi ya watu.
|
||
|
|
||
|
# Gibeoni na Mispa
|
||
|
|
||
|
Haya ni majina ya mahali
|
||
|
|
||
|
# mkoa wa ng'ambo ya Mto
|
||
|
|
||
|
Hili ndiyo jina la mkoa ambao lilikuwa magharibi ya Mto Efrati. Ilikuwa ng'ambo ya mto kutoka mji wa Susa. Tafsiri kama katika 2:7.
|
||
|
|