forked from WA-Catalog/sw_tn
13 lines
327 B
Markdown
13 lines
327 B
Markdown
|
# Nitaunyoosha mkono wangu juu ya Edomu
|
||
|
|
||
|
Tazama tafsiri yake katika 25:6.
|
||
|
|
||
|
# kutoka Temani hata Dedani
|
||
|
|
||
|
Haya ni majiji mawili mkabala na Edomu. Hii inamaanisha kwamba Mungu ataiangamiza Edomu yote.
|
||
|
|
||
|
# Wataanguka kwa upanga
|
||
|
|
||
|
Neno "anguka" inawakilisha kuuawa na "upanga" inarejea kwa vita. "Maadui zao watawaua kwa upanga wao"
|
||
|
|