forked from WA-Catalog/sw_tn
37 lines
990 B
Markdown
37 lines
990 B
Markdown
|
# Taarifa ya Jumla:
|
||
|
|
||
|
Usambamba ni kawaida katika mashairi ya Kihebrania.
|
||
|
|
||
|
# Kwa mwanamuziki mkuu
|
||
|
|
||
|
"Hii ni kwa kiongozi wa muziki kutumia katika kuabudu"
|
||
|
|
||
|
# Zaburi ya wana wa Kora
|
||
|
|
||
|
"Hii ni zaburi ambayo wana wa Kora waliandika."
|
||
|
|
||
|
# Maschili
|
||
|
|
||
|
Hii inaweza kuwa mtindo wa muziki.
|
||
|
|
||
|
# Tumeskia kwa maskio yetu, Mungu
|
||
|
|
||
|
Neno "maskio" linaongeza mkazo kwa kauli waliosikia na kuelewa vitu ambavyo mwandishi anataka kueleza. Mwandishi anaeleza kauli hii kwa Mungu. "Mungu, tumesikia vizuri"
|
||
|
|
||
|
# katika siku zao, katika siku za kale
|
||
|
|
||
|
Misemo yote hii miwili inatumia neno "siku" kumaanisha wakati ambao mababu wa watu wa Israeli walipokuwa hai.
|
||
|
|
||
|
# Uliondoa mataifa
|
||
|
|
||
|
"Ulilazimisha watu wa mataifa mengine kuondoka"
|
||
|
|
||
|
# kwa mkono wako
|
||
|
|
||
|
Hapa neno "mkono" linamaanisha nguvu ya Mungu. "kwa nguvu yako"
|
||
|
|
||
|
# uliwapanda watu wetu
|
||
|
|
||
|
Mwandishi anamzungumzia Mungu kusababisha Waisraeli kuishi katika nchi kana kwamba aliyokuwa akiwapanda katika udongo kama ambavyo angepanda mti. "uliwasababisha watu kuishi huko"
|
||
|
|