forked from WA-Catalog/sw_tn
17 lines
331 B
Markdown
17 lines
331 B
Markdown
|
# nimekinyunyiza kitanda changu kwa
|
||
|
|
||
|
"nimetandaza juu ya kitanda changu"
|
||
|
|
||
|
# udi
|
||
|
|
||
|
aina ya magamba kutoka kwenye mti ambayo hunukia vizuri
|
||
|
|
||
|
# mdalasini
|
||
|
|
||
|
hiki ni kiungo kinachotengenezwa kutokana na magamba ya mti ambayo hunukia vizuri na radha nzuri
|
||
|
|
||
|
# tushibe kwa upendo
|
||
|
|
||
|
"tufanye mambo ya upendo kwa kila mmoja kadri tunavyotaka"
|
||
|
|