forked from WA-Catalog/sw_tn
33 lines
670 B
Markdown
33 lines
670 B
Markdown
|
# Esntensi ungsnishi
|
||
|
|
||
|
Yesu anaufafanua ufalme wa mbinguni kwa kutumia mfano wa mbegu ambayo hukua na kuwa mti mkubwa
|
||
|
|
||
|
# Ufalme wa mbinguni unafanana n a
|
||
|
|
||
|
"Wakati Mungu wetu wa mbinguni atakapojidhihirisha kama mfalme kuwa mfalme, itakuwa kama", Tazama 13:24.
|
||
|
|
||
|
# mbegu ya haradari
|
||
|
|
||
|
ni mbegu ndogo sana ambayo huweza kukua na kuwa mti mkubwa
|
||
|
|
||
|
# Mbegu hii kwa hakika ni ndogo kuliko mbegu zingine zote
|
||
|
|
||
|
Mbegu za haradari zilikuwa mbegu ndogo zadi ambazo zilifahamika kwa wasikilizaji wa kwanza
|
||
|
|
||
|
# Lakini imeapo
|
||
|
|
||
|
"Lakini mmea unapokuwa"
|
||
|
|
||
|
# huwa kubwa kuliko
|
||
|
|
||
|
ni mkubwa kuliko
|
||
|
|
||
|
# huwa mti
|
||
|
|
||
|
Mmea wa haradli hukua kiasi cha mita 2 had 4 za urefu
|
||
|
|
||
|
# ndege awa angani
|
||
|
|
||
|
"ndege"
|
||
|
|