forked from WA-Catalog/sw_tn
29 lines
565 B
Markdown
29 lines
565 B
Markdown
|
# Habari ya jumla
|
||
|
|
||
|
Musa bado anazungumza na watu wa Israeli.
|
||
|
|
||
|
# utavunja madhabahu zao
|
||
|
|
||
|
"lazima uondoe madhabahu ya mataifa hayo" au lazima uharibu madhabahu ya mataifa hayo"
|
||
|
|
||
|
# vunja katika vipande vipande
|
||
|
|
||
|
"vunja vipande vipande au kupasua"
|
||
|
|
||
|
# utakata chini
|
||
|
|
||
|
"unapaswa kukata"
|
||
|
|
||
|
# haribu majina yao
|
||
|
|
||
|
Hapa "majina yao" uwakilisha "kumbukumbu zao.
|
||
|
|
||
|
# mahali hapo
|
||
|
|
||
|
Hii urejea kwa kila eneo ambapo mataifa waliabudu miungu mingine.
|
||
|
|
||
|
# Hutamwabudu Yahwe Mungu wako kama hivyo
|
||
|
|
||
|
"Haupaswi kumwabudu Yahwe Mungu wako kama vile haya matiafa mengine waliabudu miungu yao"
|
||
|
|