forked from WA-Catalog/sw_tn
21 lines
647 B
Markdown
21 lines
647 B
Markdown
|
# kwanza mitume
|
||
|
|
||
|
Hii inaweza kumaanisha 1) " ninataja karama ya kwanza kuwa ni ya mitume" au 2) "karama ya muhimu zaidi ni ya mitume"
|
||
|
|
||
|
# wale wasaidiao
|
||
|
|
||
|
" wale wanaotoa msaada kwa waumini wenzao"
|
||
|
|
||
|
# wale wafanyao kazi ya kuongoza
|
||
|
|
||
|
" wale wanaosimamia kanisa"
|
||
|
|
||
|
# wote walio na aina mbalimbali za lugha
|
||
|
|
||
|
Watu wanaozungumza lugha za kigeni moja au zaidi bila kujifunza.
|
||
|
|
||
|
# Je sisi wote ni mitume? wote ni manabii? wote ni waalimu? wote wanafanya matendo ya miujiza?
|
||
|
|
||
|
Paulo anawakumbusha wasomaji wake jambo wanalolijua. kwa maneno mengine anasema " baadhi yao tu ni mitume. Baadhi yao tu ni manabii. Baadhi yao tu hufanya matendo ya miujiza"
|
||
|
|