345 B
345 B
Maelezo ya jumla
Elihu anaendelea kuzungumza na Ayubu
Roho ya Mungu imeniumba..... imenipatia uhai
mistari hii miwili ina maana moja. Elihu inatia mkazo kwamba Mungu amemfanya yeye na kwa hivyo humpa mamlaka kwa kile anachokisema.
weka maneno yako katika mpangilio mbele yangu na kisha usimame
"andaa kile utakachokisema na unijibu"