12 lines
348 B
Markdown
12 lines
348 B
Markdown
# mwenye haki, haki
|
|
|
|
Neno "haki" na "mwenye haki" linamlenga Mungu ambaye yeye ni mwema, mwenye hukumu sahihi, mwaminifu, na mwenye upendo, na kwa sabab yeye ni mwenye haki; basi ataihukumu dhambi.
|
|
|
|
# Neno
|
|
|
|
Neno linamaanishsa kitu ambacho mtu amesema.
|
|
|
|
# mwaminifu
|
|
|
|
Kuwa mwaminifu kwa Muungu maana yake ni kuishi kulingana na mafundisho ya Mungu.
|