402 B
402 B
Taarifa Kwa Ujumla:
Habakuki anamfafanua Yahwe kuwaharibu Wakaldayo.
Wanakuja sawa na tufani
Nguvu na uharaka wa Wakaldayo walivyowashambulia Israeli unalinganishwa na ujio wa ghafla wa tufani.
Kuchekelea/cheka
"kujigamba"
teketeza maskini katika mahali palipo fichika
tafuta watu maskini ambao wamejificha na huwaua na kuchukua mali zao zote
teketeza/meza
hula kila kitu kwa haraka