24 lines
651 B
Markdown
24 lines
651 B
Markdown
# hamsini wa wana
|
|
|
|
"wana 50"
|
|
|
|
# wana wa manabii
|
|
|
|
Hii haimanishi kwamba walikuwa wana wa manabii, isipokuwa, hao walikuwa kundi la manabii.
|
|
|
|
# kusimama kinyume nao
|
|
|
|
Hii inamaanisha kwamba walikuwa wamesimama, wakiwatazama. "kusimama kuwatazama" au "wamesimama wakiwaangali"
|
|
|
|
# vazi
|
|
|
|
nje ya kipande cha nguo kinachotumika kufunika
|
|
|
|
# Ule mto ukagawanyika katika sehemu mbili hivyo basi wawili hao wakatembea hadi nchi kavu
|
|
|
|
"Maji ya Mto Yordani yakafunguka hivyo kulikuwa na njia kavu kwa ajili ya Eliya na Elisha kukatiza upande mwingine"
|
|
|
|
# pande zote
|
|
|
|
"upande wa kulia na kushoto." Hii inareje kulia na kushoto mahali Eliya alipokuwa ameyapiga maji.
|