sw_tn/rom/11/23.md

24 lines
879 B
Markdown

# kama hawataendelea katika kutoamini kwao
"Kama Wayahudi wanaanza kumiamini Kristo"
# Watapandikizwa tena
"Mungu atawapandikiza tena"
# Kupandikiza
Hii ni hatua ya kawaida ambapo tawi lililo hai la mti mmoja linapachikwa kwenye mti mwingine ili liweze kukua kwenye ule mti mpya.
# Kwa maana ikiwa wewe ulikatwa nje kwa asili ya mzeituni mwitu, na kinyume cha asili walipandikizwa katika mzeituni ulio mwema, si zaidi sana hawa Wayahudi, ambao ni kama matawi ya asili kuweza kupandikizwa tena ndani ya mzeituni wao wenyewe?
"Ikiwa Mungu atakukata nje kwa asili ya mzeituni mwitu, na kinyume cha asili walipandikizwa katika mzeituni mzuri, si zaidi sana hawa Wayahudi, ambao ni matawi ya asili, kwenye mzeituni wao wenyewe?"
# Matawi
Paulo anawafananisha wanachama wa watu wa Mungu na matawi ya mti.
# Wao..... Wale
Ilipojitokeza "wao" au "wale" inamaanisha Wayahudi.