sw_tn/rom/02/23.md

441 B

Ninyi mnaojisifu kwa furaha kwenye sheria, je hamumtii Mungu kupitia uvunjaji wenu wa sheria?

Paulo anatumia swali kuwakemea wasikilizaji wake. "Ni uovu mnavyojifanya mnajivunia kwa sheria, wakati huo huo hamuitii na kuleta aibu kwa Mungu."

Jina la Mungu haliheshimiwi kati ya Mataifa

"Matendo yenu maovu yanaleta aibu kwa Mungu kwenye fikra za Mataifa"

Jina la Mungu

Neno "Jina" linamaanisha umilele wa Mungu, sio tuu jina lake.