36 lines
661 B
Markdown
36 lines
661 B
Markdown
# Sentensi unganishi:
|
|
|
|
Paulo anadhihirisha hasira kuu ya Mungu dhidi ya wanaotenda dhambi.
|
|
|
|
# Kwa kuwa ghadhabu yake
|
|
|
|
Paulo anaelezea kwa nini watu wanatakiwa kuisikia injili.
|
|
|
|
# Ghadhabu ya Mungu imedhihirishwa
|
|
|
|
"Mungu amedhihirisha hasira yake"
|
|
|
|
# Dhidi
|
|
|
|
"juu ya"
|
|
|
|
# uasi wote na udhalimu wa watu
|
|
|
|
"uasi wote na mambo ya udhalimu ambayo watu wanayatenda"
|
|
|
|
# kuuficha ukweli
|
|
|
|
"walificha taarifa za kweli kuhusu Mungu"
|
|
|
|
# ambayo inajulikana kuhusu Mungu inaonekana kwao
|
|
|
|
"wanaweza kujua kuhusu Mungu kwa sababu ya wanayoyaona"
|
|
|
|
# Kwa kuwa Mungu
|
|
|
|
Paulo anawaonyesha kwa nini watu wanajua mambo kuhusu Mungu.
|
|
|
|
# Mungu amewaangazia
|
|
|
|
"Mungu ameyaonyesha hayo kwao"
|