36 lines
1.1 KiB
Markdown
36 lines
1.1 KiB
Markdown
# Sentensi unganishi
|
|
|
|
Mungu anaendelea kuongea na Haruni
|
|
|
|
# Kila kitu kinachofungua tumbo, kila limbuko
|
|
|
|
"kila mzaliwa wa kwanza wa kiume"
|
|
|
|
# Kila kitu kinachofungua tumbo
|
|
|
|
Nahau hii ya "kufungua tumbo" mzaliwa wa kwanza wa kiume ambaye mama huzaa"
|
|
|
|
# watu lazima wawakomboe wazaliwa wa kwanza wa kiume
|
|
|
|
Badala ya kutoa sadaka wazaliwa wao wa kwanza, watu walitakiwa kuwalipa makuhani kwa ajili ya wana wao.
|
|
|
|
# Wale ambao wanahitaji kukombolewa na watu watakombolewa wakiwa na umri wa mwezi mmoja
|
|
|
|
"watu watawakomboa wakiwa na umri wa mwezi mmoja."
|
|
|
|
# Wale wanaohitaji kukombolewa
|
|
|
|
Hii inamaanisha watu ambao wanatakiwa kukombolewa na wala si wale wanyama ambao ni wazaliwa wa kwanza wasiosafi
|
|
|
|
# shekeli tano .... ambazo ni sawa na gera ishirini
|
|
|
|
""vipande vitano vya fedha ... ambvyo kila kimoja ni sawa na gramu ishirini za fedha" au "gramu hamsini za fedha kwa kipimo cha mahali patakatifu"
|
|
|
|
# shekeli tano
|
|
|
|
Shekeli moja ni kipimo cha uzani. "shekeli tano za fedha"
|
|
|
|
# shekeli za mahali patakatifu
|
|
|
|
Hizi ni shekeli zenye uzani tofauti. Ni kipimo ambacho kilitumikaa kwa mahali patakatifu hemani. Uzani wake ulikuwa gera ishirini sawa na gramu 11.
|