16 lines
431 B
Markdown
16 lines
431 B
Markdown
# wakaingia ndani shimoni wakiwa hai
|
|
|
|
tazama 16:28
|
|
|
|
# wakashangaa
|
|
|
|
kiwakilishi "wa" kinawakilishsa Waisraeli"
|
|
|
|
# Nchi isije kutumeza na sisi pia
|
|
|
|
"Nchi inaweza kufunguka na sisi pia tukaangukia ndani yake na kufunikwa" au "Nchi ikifunguka tena na sisi tutangukia ndani yake tukaangukia ndani yake"
|
|
|
|
# Kisha moto ukashuka toka kwa BWANA ukawaangamiza wale wanaume 250
|
|
|
|
"Moto ukawaka kutoka kwa BWANA ukawaangamiza wale wanaume 250"
|