16 lines
303 B
Markdown
16 lines
303 B
Markdown
# wana wa Israeli
|
|
|
|
Israeli lilikuwa jina jingine la Yakobo. "watu wa Israeli"
|
|
|
|
# na kuzishika
|
|
|
|
"kuzitii"
|
|
|
|
# ili kwamba msije mkatangatanga katika mioyo yenu na macho yenu
|
|
|
|
"ili kwamba msije mkafikiria chochote manchokitaka"
|
|
|
|
# na kuwa waasherati kwa hayo
|
|
|
|
"na kwa aibu mkashindwa kuw waaminifu kwangu"
|