16 lines
459 B
Markdown
16 lines
459 B
Markdown
# Lakini si hivyo kwa mtumishi wangu Musa
|
|
|
|
"Siongei na Musa kwa namna hiyo"
|
|
|
|
# Yeye ni mwaminifu katika nyumba yangu
|
|
|
|
Nyumba hapa inamaanisha taifa la Israeli. Musa amawaongoza watu wangu kwa uamiinifu" au Musa ndiye ninayemwamini kuwaongoza watu wangu Usraeli"
|
|
|
|
# Kwa nini hamuogopi kumnenea kinyume mtumishi wangu Musa?
|
|
|
|
"Mnapaswa kuogopa kumnenea kinyume mtumishi wangu, dhidi ya Musa"
|
|
|
|
# kinyume, cha mtumishi wangu Musa
|
|
|
|
kinyume cha mtumishi wangu, Musa
|