16 lines
422 B
Markdown
16 lines
422 B
Markdown
# uwakusanye jamii yote
|
|
|
|
"wakusanye jamii yote"
|
|
|
|
# mbele yangu, BWANA
|
|
|
|
BWANA imetumika kwa jina lake Mungu
|
|
|
|
# Wana wa Israeli wataweka mikono yao juu ya Walawi
|
|
|
|
"Watu wa Israeli wataweka mikono yao juu ya Walawi, wakiwaweka wakfu kwangu"
|
|
|
|
# kuwa sadaka ya kutikiswa
|
|
|
|
Haruni alitakiwa kuwatoa Walawi kwa BWANA kwa kiwango sawa cha kuwaweka wakfu kama ilivyo sadaka inayotolewa kwa BWANA. "kama ilivyo sadaka ya kutikiswa"
|