hutafuta mawindo
Kiambishi 'hu' kinarejelea tai
macho yake huyaona
huwaona wao
pale walipo wafu
"sehemu palipo na watu wafu'' Kirai hichi kinarejelea maiti zilizolala katika sehemu wazi, si miili iliyozikwa ardhini.
ndipo na yeye alipo.
"yuko pale kuwala wao"